federicofernandez
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 578
- 392
Kama shngapi Hivi ndio mtaji mkubwa?Tafuta mtaa wenye pilika pilika na makazi ya wtu wengi fungua duka la matumizi ya majumbani ila usiweke mtaa wenye maduka mengi ili ukuze mtaji maana Mill 5 sio nyingi kiivo ukicheza utarudi kutugawia pesa zetu wazee tuliotusua mikeka yetu.
Unataka kuwa agent process inakuwajeTafuta mtaa wenye pilika pilika na makazi ya wtu wengi fungua duka la matumizi ya majumbani ila usiweke mtaa wenye maduka mengi ili ukuze mtaji maana Mill 5 sio nyingi kiivo ukicheza utarudi kutugawia pesa zetu wazee tuliotusua mikeka yetu.
Nitafute kupitia namba hii nikupe ideas yang ambayo ukiifanya itafanyikisha jambo lako .namba ni 0744939000Ushauri wenu
Nafikiria kuacha kazi nijiajiri na mtaji nnao, kuna kazi nyngine hazipendezi kufanya kama age ikiwa inaendelea kusonga , (npo kwenye kampuni ya betting tena kama cashier nnaebetisha tuu, mshahara ukizidi sana+bonus 250k, lakn nalipwa 200k ).
Je, niache nijitafte biashara ya kufanya? Na ni biashara gani kwa Mtaji 5M?
Njoo pmNitafute kupitia namba hii nikupe ideas yang ambayo ukiifanya itafanyikisha jambo lako .namba ni 0744939000
milioni 34,000,000 minpo kwenye kampuni kabisa sio agentKatika kipindi chako cha Ucashier,umewahi kubeti? Je,kiasi kikubwa cha fedha alichowahi kushinda mtu kwa kubeti ni sh ngapi?
asante sana mkuu npo njian kufanya hvyoHiyo hela ni get on hands finish on mouth...achana na icho kibarua.
Ukitaka kufanikiwa Step out of your comfort zone uone utakavyokuwa na akili ya kujipekecha kuelekea mafanikio.
Mwl Kambarage mwenye aliachana na uteacher akaenda kufukuzia mitkasi mingine.
Weka hapa idea wafaidike na wengine, au unataka kumuuzia?Nitafute kupitia namba hii nikupe ideas yang ambayo ukiifanya itafanyikisha jambo lako .namba ni 0744939000
Tobaaaa umekwisha huko PM.
Nitafute kupitia namba hii nikupe ideas yang ambayo ukiifanya itafanyikisha jambo lako .namba ni 0744939000