federicofernandez
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 578
- 392
Ushauri wenu
Nafikiria kuacha kazi nijiajiri na mtaji nnao, kuna kazi nyngine hazipendezi kufanya kama age ikiwa inaendelea kusonga , (npo kwenye kampuni ya betting tena kama cashier nnaebetisha tuu, mshahara ukizidi sana+bonus 250k, lakn nalipwa 200k ).
Je, niache nijitafte biashara ya kufanya? Na ni biashara gani kwa Mtaji 5M?
Nafikiria kuacha kazi nijiajiri na mtaji nnao, kuna kazi nyngine hazipendezi kufanya kama age ikiwa inaendelea kusonga , (npo kwenye kampuni ya betting tena kama cashier nnaebetisha tuu, mshahara ukizidi sana+bonus 250k, lakn nalipwa 200k ).
Je, niache nijitafte biashara ya kufanya? Na ni biashara gani kwa Mtaji 5M?