Nahitaji kuanza biashara ya maharage. Mwenye uzoefu wa masoko na changamoto zake anijuze

Nahitaji kuanza biashara ya maharage. Mwenye uzoefu wa masoko na changamoto zake anijuze

Kamisoni

New Member
Joined
Jan 13, 2024
Posts
3
Reaction score
0
Natumai mko vema nilikuwa nahitaji kuanza biashara ya maharage mwenye uzoefu wa masoko na changamoto zake.

Mwenye uzoefu karibu.
 
Hata mm naifikiria siku moja ntakuja kuifanya
 
Unaifanya vipi yaani. Ama unatoa huko mashambani na kuleta mjini?
 
Natumai mko vema nilikuwa nahitaji kuanza biashara ya maharage mwenye uzoefu wa masoko na changamoto zake.

Mwenye uzoefu karibu.
Wazo zuli, lakini maharage yana aina tofauti tofauti lazima uangalie unataka kuuza maharage ya aina Gani? Na utaka kuuza kwa level ipi?? Jumla au reja reja
 
Maharage yanalipa mkuu hasa ukipata chimbo zuri la kujumlia na kuuzia,mikoani maharage kununua kipindi cha mavuno mwezi April na May debe Tsh. 30,000 - 35,000 lakini kipindi cha OCT,NOV na DEC huku huku mikoani yanauzwa kwa Tsh. 60,000 - 70,000 tena yanatafutwa kwa torch,so unaweza pata faida pasipo gharama ya kusafirisha kikubwa uvumilivu na kuuacha mzigo store. Mimi binafsi nimeyalima takribani ekari nne matarajio ya mavuno ni takribani gunia 16 na kuendelea na mrejesho wa faida ni miezi hiyo tajwa. Usighairi huo mpango utakuja kutushukuru,maharage dili kuliko mahindi changamkia hiyo fursa.
 
Mwaka
Maharage yanalipa mkuu hasa ukipata chimbo zuri la kujumlia na kuuzia,mikoani maharage kununua kipindi cha mavuno mwezi April na May debe Tsh. 30,000 - 35,000 lakini kipindi cha OCT,NOV na DEC huku huku mikoani yanauzwa kwa Tsh. 60,000 - 70,000 tena yanatafutwa kwa torch,so unaweza pata faida pasipo gharama ya kusafirisha kikubwa uvumilivu na kuuacha mzigo store. Mimi binafsi nimeyalima takribani ekari nne matarajio ya mavuno ni takribani gunia 16 na kuendelea na mrejesho wa faida ni miezi hiyo tajwa. Usighairi huo mpango utakuja kutushukuru,maharage dili kuliko mahindi changamkia hiyo fursa.
Mwaka huu kwa katavi yaliishia debe Tsh. 60000/=
 
Back
Top Bottom