Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Swala sio uwepo wao, ishu ni uwajibikaji wao.Nafahamu wapo kila mahali
mimi ni mtafiti, nimetembea mikoa zaidi ya mikoa 27 bara na Z'bar, hawa watu hawatekelezi wajibu wao ipasavyo na ndio sababu kuu ya wakulima kupata hasara na biashara kufilisika kila uchwao.
Chalinze nyama na manchali ni mabonde ya msimu.....HUKOHUKO chamwino ulimo ndo kuzuri Kuna bonde la manchali na chalinze maji mwaka mzima
Acha urongo Wewe zaafarani kilo moja inauzwa she elfu kumi na sitaKalime zao ghali duniani saffron (zaafaran)
Pekua sana kwenye mitandao
Zao hili hulimwa sana Iran na Spain
Kg moja ni kuanzia milion 4 na kuendelea
Umemaanisha wapemba au wapendwa?Wapendwa nimechoka na ajira za kubangaiza za bongo, nahitaji kuanza kilimo cha zao la beetroots maeneo ya Dodoma, Morogoro, Singida au Shinyanga. Ninachoomba msaada kwa wanajukwaa ni haya maswali hapa;
1. Zao hili linaweza kuhimili hali ya hewa ya haya maeneo na kama sio maeneo yapi ni muafaka kulima hapa Tanzania ( conducive environment to grow beetroots)
2. Ni variety ipi nzuri kupanda katika maeneo haya,
3. Je, ni mambo gani muhimu ya kuzingatia kuweza kuzalisha mazao bora
4. Masoko yake yakoje hapa Tanzania
5. Misimu yake imekaaje? upi mzuri kulima zao hili
Jukwaa hili kubwa, linawatu mahili naomba msaada jamani
Asanteni;
Chamwino Makulu.
Hiyo inalimwa wapi ya bei hiyo?Acha urongo Wewe zaafarani kilo moja inauzwa she elfu kumi na sita
kumbe ndio haya mkuu hutumika kama saladiHii hapa View attachment 861344
Haya nenda kaliimie LUMUMA,MBORI,TAMBI,MLEMBULE MAJI MWAKA MZIMAChalinze nyama na manchali ni mabonde ya msimu.....
na kwa uchache wa mvua za dodoma, ni changamoto...
Mkuu hiyo Bei ya milioni 4 Ni kavu au mbichi mkuuHiyo inalimwa wapi ya bei hiyo?
Unaijua saffron wewe
Unaniita muongo
Mimi nanunua na kuuza kila siku na ni ya Spain/Iran
10gm ni £35
Usibishe kwa jambo usilolijua na kwa bei hiyo mimi ntakupa mil 2/kg njoo PM tufanye biashara bila longolongo sawa
Haswakumbe ndio haya mkuu hutumika kama saladi
Hii ni bei ya LondonMkuu hiyo Bei ya milioni 4 Ni kavu au mbichi mkuu
Mkuu mbeguvtapata wapi nilime Hilo zao mnunuzi wangu utakuwa Wewe labda useme huhitaji ndo niawauzia wengine.Hii ni bei ya London
Na ni baada ya kukaushwa maana haiuzwi mbichi
Jamaa anabisha wakati mimi nanunua na kuuza kila wakati
Hili zao ni ghali sana na linalimwa sana Iran na Spain
Ni sawa na kumbishia mtu paketi ya sigara sh 3000 na mwingine akakuambia ni £11 kwa paketi sawa na sh 35,000
Soko la kimataifa ndio bei tunazozijua kwa wafanyabiashara wa nje na ni lazima tujue hivyo
Saffron ni stem ya ua ambalo hukaushwa na kuhifadhiwa vizuri ili harufu isipotee View attachment 974649
Kwanza nashukuru kwa kunipa ofa hiyoMkuu mbeguvtapata wapi nilime Hilo zao mnunuzi wangu utakuwa Wewe labda useme huhitaji ndo niawauzia wengine.
NB take it serious sio utani tafadhali
Nenda seedcoMbegu zake zinapatikana wapi hapa kwetu.
Hivi kuna watu mna ulemavu wa kujishughulisha? Acheni excuse za kipuuzi fanyeni kazi mpate inputs kwa gharama zenu wenyewe, serikali haitozi kodi inputs nyingi na hata mazao yakikomaamkuu sidhani kama shida ni ukosefu wa taarifa/elimu juu ya kilimo kwa wakulima!
usemavyo ni sahihi kua tuna vituo vingi vya ARI ambavyo vinatoa elimu aither kwa kufuatwa au kufuata wakulima kulingana na hali ya kilimo na mwenendo wa mazao nchini.
Kuna haja ya serikali kupitia ofisi hizi za kilimo kila halmashauri na hizi za ARI kuwa na msukumo wa nyenzo za kusaidia wananchi.
kwa mfano zao kama hili linaonekana ni geni lakini lipo maeneo baadhi nchini linafanya vizuri na linaonekana kua na soko, kwa hiyo ni wakati mwafaka wa serikali kulifanyia kazi maana sio kila mwananchi anaetamani kulima anauelewa na anaweza kumudu gharama za inputs pamoja na soil analysis ili kujua kama zao eneo lake litastahimili au lah!
[emoji116]Mkijibiwa mnitag
Nimelima nikakosa soko,nimeamua nile na familia yangu,soko lipo Arusha mkuuIcho kilimo hakitakunufaisha sababu ya soko. Nimelima sana mimi sema soko ndyo shida
asante kwa ushauri wako mkuu!Hivi kuna watu mna ulemavu wa kujishughulisha? Acheni excuse za kipuuzi fanyeni kazi mpate inputs kwa gharama zenu wenyewe, serikali haitozi kodi inputs nyingi na hata mazao yakikomaa
Fanyeni kazi acheni kulalama upumbavu kila kitu serikali utafikiri ukifeli maisha serikali itakuhurumia
nahisi hii mada imekuzidi uwezo. siyo kwa majibu mepesi hivi.Nenda seedco
Yanaliwa mabichi ukikata vipande ķama silesi.Maji maji yake ni mekundu kama damuHaya yanataka kufanana na magimbi je yanaliwa mabichi ? Je soko lake kikoje?