ipo public hapo, halafu kuna hiyo ya master bedroom kwa kuwa ni mzazi na unajua matatizo ya uzee ni bora awe na choo chake umsitiri akifikia hali hiyoMkuu umetisha sana sema kwa upande wa toilet nataka iwe public hata mgeni akija aende straight
Mh mjumbe, kama wazazi walizinguanga na sasa hawaishi pamoja, na hili ndilo nikaleta kutamka kuwa anamjengea "mama". Haijakaa poa?Chukua ramani aliyo kutumia mdau hapo chini.
Na kwakua unataka kujenga kijijini sikushauri uanze mambo ya kununua ramani kama mdau mmoja alivyo anza kukushawishi hapa.
Kwa mtazamo nimeona eneo unalo taka kujenga halina slope kubwa sana na hata aina ya udongo sio mbaya sana mkuu.
Mwisho nikukumbushe kwamba ulitakiwa uwajengee wazazi wako (sio mama yako), hata kama wazazi wako walizinguana usiingilie ugomvi wao tafadhali.
Nikutakie kila lakheri na Mungu akufanikishie mipango yako.
Much respect mkuu.Panapo majaliwa mwaka huu nataka nianze ujenzi mkoani kwetu .
Namjengea mama yangu kama zawadi ya shukurani kwake kwa malezi mazuri .
Sina pesa nyingi ya kujenga kwa mkupuo ila ujenzi wangu nimegawa kwenye phase zifuatazo.
1.kununua materials kama mchanga,kokoto,mawe,tofali,cement
2.msingi
3.boma usawa wa dirisha
4.boma na kumaliza zege kabisa.
5. Kupaua
6.plasta
7.milango na madirisha
8.choo
9.rangi
10.tiles.
Nafanya hivi sababu kipato changu kidogo (tgs c)
Hii ndo design nayoiwaza kwa kuanzia ili mama asiendelee kupanga
Naombeni ushauri wa vipimo natamani sebule iwe kubwa na vyumba vikubwa.
Naombeni estimation ya cost kiwanja ni kikubwa m² 600. Kina nature ya slope japo sio sana .
Ahsanteni nawakaribisha.
View attachment 2616388View attachment 2616392View attachment 2616394
Mh mjumbe, kuzinguana kwa wazazi ni jambo nyeti na gumu sana kwa mtoto kulizungumzia.Mh mjumbe, kama wazazi walizinguanga na sasa hawaishi pamoja, na hili ndilo nikaleta kutamka kuwa anamjengea "mama". Haijakaa poa?
Sawa mh mjumbe nimekupataMh mjumbe, kuzinguana kwa wazazi ni jambo nyeti na gumu sana kwa mtoto kulizungumzia.
Minafikiri kijana anapaswa ajenge nyumba ili paitwe kwa, hii haijalishi kwamba ni kwababa ama kwa mama. Yamkini siku moja wamerudiana, je pale atapaita kwa nani wakati alisha paita ni kwa mama??
Mh mjumbe, binafsi hili limenitokea na ninashkuru Mungu alinuongoza na nikalifanya kama ilivyo mpendeza Allah. Na leo wamekua wakitembeleana baada ya kutengana kwa zaidi ya miaka 25
Milango ya vyumba itakuwa inaelekea sebleni, mpaka hapo aspect ya privacy ktk designing haijazingatiwaPanapo majaliwa mwaka huu nataka nianze ujenzi mkoani kwetu .
Namjengea mama yangu kama zawadi ya shukurani kwake kwa malezi mazuri .
Sina pesa nyingi ya kujenga kwa mkupuo ila ujenzi wangu nimegawa kwenye phase zifuatazo.
1.kununua materials kama mchanga,kokoto,mawe,tofali,cement
2.msingi
3.boma usawa wa dirisha
4.boma na kumaliza zege kabisa.
5. Kupaua
6.plasta
7.milango na madirisha
8.choo
9.rangi
10.tiles.
Nafanya hivi sababu kipato changu kidogo (tgs c)
Hii ndo design nayoiwaza kwa kuanzia ili mama asiendelee kupanga
Naombeni ushauri wa vipimo natamani sebule iwe kubwa na vyumba vikubwa.
Naombeni estimation ya cost kiwanja ni kikubwa m² 600. Kina nature ya slope japo sio sana .
Ahsanteni nawakaribisha.
View attachment 2616388View attachment 2616392View attachment 2616394
Mkuu karibu nikuuzie ramani iliyo na kira kitu 4bedroom Kwa bei simple Sana ,haizid 100k na ina mhuri kabisa wa kukusaidia kuombea kibar Cha ujenzi
Karibu sanaMm nitakutafuta