siwacheusi
Member
- Jul 11, 2022
- 24
- 11
Habari wadau!
Naomba ushauri wenu nina mataji wa Milion 2 nataka kuanzisha duka dogo la vipozi kwenye hiyo million 2 ndo itagaramikia vifuatavyo-:
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Naomba ushauri wenu nina mataji wa Milion 2 nataka kuanzisha duka dogo la vipozi kwenye hiyo million 2 ndo itagaramikia vifuatavyo-:
- Eneo la biashara
- Kodi ya frame kwa miez6
- Shelf na kabati
- Vipodozi venyewe
- Leseni ya biashara
- Muuzaji na mm mwenyewe
Natanguliza shukrani zangu za dhati.