Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,718
Kama mada inavyosema hapo juu, nna wazo hilo na kuonesha nimedhamiria tayari nimeandaa business plan yangu. But ili plan iwe real sina budi niwe na data ambazo ni real. Kwa mtu mzoefu na mambo ya magazeti na takwimu angeweza kunisaidia nijue wastani wa watanzania wanaosoma magazeti kila wiki moja. Ningefurahi kama ningepata taarifa za kitakwimu zaidi yaani kati ya watanzania 1000 ntapata wasomaji wangapi?
Najua kuna watu wanafanya kazi global publishers, mwananchi comm na ipp media ningepanda wanipe hata estimation ya magazeti ambayo wanayaproduce kwa kila toleo moja ili na mimi niweze kufanya estimation vizuri.
Nimedhamiria sana kwa hili japo sina cash mfukoni am not bothered maana najua kama if this idea work out no investor can turn it out. Ila kwanza nataka niwe done with the plan.. Yaani ni explore kila kitu from the scratch mpaka gazeti litapoingia sokoni, then ndo nijue zinahitajika kiasi gani cha pesa na mipango ya kutafuta capital ndo ianzie hapo.
Naombeni huo msaada sana, nna mawazo mengi sana. Lakini kama mjuavyo vision without excecution is halucination. Sasa ndo hivyo mi nshachafukwa na roho i dont want either of my ideas to become halucination. I have guts now to start from the scratch and face any monster, failure not an option.
2015- think big, hustle hard, get started, sense of urgency, failure not an option, get rich or whatever, clock is ticking.
Jamani msione nna maneno mengi ila ndo hivo tu, vijana tushachafukwa na roho.
Najua kuna watu wanafanya kazi global publishers, mwananchi comm na ipp media ningepanda wanipe hata estimation ya magazeti ambayo wanayaproduce kwa kila toleo moja ili na mimi niweze kufanya estimation vizuri.
Nimedhamiria sana kwa hili japo sina cash mfukoni am not bothered maana najua kama if this idea work out no investor can turn it out. Ila kwanza nataka niwe done with the plan.. Yaani ni explore kila kitu from the scratch mpaka gazeti litapoingia sokoni, then ndo nijue zinahitajika kiasi gani cha pesa na mipango ya kutafuta capital ndo ianzie hapo.
Naombeni huo msaada sana, nna mawazo mengi sana. Lakini kama mjuavyo vision without excecution is halucination. Sasa ndo hivyo mi nshachafukwa na roho i dont want either of my ideas to become halucination. I have guts now to start from the scratch and face any monster, failure not an option.
2015- think big, hustle hard, get started, sense of urgency, failure not an option, get rich or whatever, clock is ticking.
Jamani msione nna maneno mengi ila ndo hivo tu, vijana tushachafukwa na roho.