Nahitaji kuanzisha gazeti very soon, kuna maujanja nataka nipate kutoka kwenu

Nahitaji kuanzisha gazeti very soon, kuna maujanja nataka nipate kutoka kwenu

Mengi hadi leo kashindwa kulipa waandishi Ingawa eti ni milionea. Rostam Aziz vile, vile. Sasa Mbowe ndio kabisaaa. Kwa nini usianzishe blog tu?

Kila siku duniani ikiwemo tanzania kuna baadhi ya biashara nyingi tu zinafungwa au kufilisika kwasababu mbalimbali, na kila siku biashara mpya zinazofanana moja kwa moja na zilizofungwa zinafunguliwa. Kufu kwa biashara sio kigezo chakutofanya biashara bali ni moja ya njia nzuri zaidi ya kujifunza kwann kashindwa
 
Unataka kutoa gazeti la kila siku, kila wiki au kila mwezi? Hilo ni swali la kwanza unatakiwa kujiuliza. Pili, unataka kusajili gazeti au unataka kununua linalomilikiwa na mtu.
Pia, ujue unataka kutoa gazeti la mlengo upi? Siasa, dini, michezo, afya au udaku? Ukijijibu haya maswali omba kuonana na mmiliki au mwendeshaji wa gazeti la mlengo kama wa gazeti utakalo ili akusadie maelekezo.
Kwa kifupi gazeti ni moja ya biashara zinazohitaji umakini na kufanyia utafiti wa kutosha, kwa sababu ina Uwezo wa kukutia hasara hata ya milioni hamsini kwa mwezi mmoja tu.
Usiyaone yanatoka tu ukadharau hadi ukahisi ni biashara rahisi tu ambayo unaweza kuifanya kama kufungua bar au restaurant.
Unapaswa kuomba ushauri kwa wamiliki wa magazeti sio waandishi wa habari, kwani wao taaluma yao ni kuandika habari na kumiliki gazeti ni biashara.
Ova
mkuu umemaliza watu wanaona mtu anasomagazeti kwa mia tano au 800 wanadhani gazeti lele mama
 
Kama mada inavyosema hapo juu, nna wazo hilo na kuonesha nimedhamiria tayari nimeandaa business plan yangu. But ili plan iwe real sina budi niwe na data ambazo ni real. Kwa mtu mzoefu na mambo ya magazeti na takwimu angeweza kunisaidia nijue wastani wa watanzania wanaosoma magazeti kila wiki moja. Ningefurahi kama ningepata taarifa za kitakwimu zaidi yaani kati ya watanzania 1000 ntapata wasomaji wangapi?

Najua kuna watu wanafanya kazi global publishers, mwananchi comm na ipp media ningepanda wanipe hata estimation ya magazeti ambayo wanayaproduce kwa kila toleo moja ili na mimi niweze kufanya estimation vizuri.

Nimedhamiria sana kwa hili japo sina cash mfukoni am not bothered maana najua kama if this idea work out no investor can turn it out. Ila kwanza nataka niwe done with the plan.. Yaani ni explore kila kitu from the scratch mpaka gazeti litapoingia sokoni, then ndo nijue zinahitajika kiasi gani cha pesa na mipango ya kutafuta capital ndo ianzie hapo.

Naombeni huo msaada sana, nna mawazo mengi sana. Lakini kama mjuavyo vision without excecution is halucination. Sasa ndo hivyo mi nshachafukwa na roho i dont want either of my ideas to become halucination. I have guts now to start from the scratch and face any monster, failure not an option.

2015- think big, hustle hard, get started, sense of urgency, failure not an option, get rich or whatever, clock is ticking.

Jamani msione nna maneno mengi ila ndo hivo tu, vijana tushachafukwa na roho.

Nenda Idara Ya Habari Na Maelezo Mtafute Binti Mmoja Wa Kihaya Anaitwa Johari Kachwamba Atakusaidia.
 
Mengi hadi leo kashindwa kulipa waandishi Ingawa eti ni milionea. Rostam Aziz vile, vile. Sasa Mbowe ndio kabisaaa. Kwa nini usianzishe blog tu?
Ni point nzuri ya kuifikiria. Lakini nani ana hela zaidi, mtu kama Kubenea au hao heavyweights kina Mengi, Rostam, na Mbowe?

Manake naona Kubenea anafungiwa leo asubuhi kesho usiku anaibuka na gazeti lingine. Na sio Kubenea tu, kuna magazeti kibao yameanzishwa miaka ya karibuni, Jamhuri mfano, matajiri gani wanalimiliki na je wana hela kuliko kina Mengi na Rostam? Kuna magazeti ya misikiti, makanisa n.k. ambao sidhani wana hela kama IPP Media au conglomerate la Rostam. By the way, Rostam tumtoe, kwa saab nadhani at some point aliamua ku shed some of his businesses, kama share za Voda aliuza, inavyoaminika, lakina haina maana biashara ya simu ilimshinda. Na labda magazeti hayakumshinda. Again, kama Kubenea anaweza. Unasemaje?
 
ushauri wangu ajiri editor wengine wote walipe kadri wanavyoleta story vinginevyo utakuwa na mzigo wa kulipa watu wengi lakini hawana mchango mkubwa
 
Back
Top Bottom