habari wana jf mimi ni mjasiliamali ambae nimepiga hatua katika biashara yangu ya kwanza.
Ninamiliki kiwanda kidogo cha kuzalisha viatu vya kimasai kiukweli nashukuru kwa hatua niliyo fikia japo haikuwa rahisi . Haya ni moja ya mafanikio biashara kuweza kuzalisha biashara sio mchezo.
*Nimefikilia nimeona nianzishe biashara ya kuuza maji kwenye bajaji (toyo)
MSAADA:
KAMA UNAFAHAMU SEHEMU WANAPO NUNUA NDOO KUBWA YA MAJI SHILINGI 500 NAOMBA NISAIDIE KUNITAARIFU.
POPOTE PALE MIMI NITAFIKA. KARIBUNI
Ninamiliki kiwanda kidogo cha kuzalisha viatu vya kimasai kiukweli nashukuru kwa hatua niliyo fikia japo haikuwa rahisi . Haya ni moja ya mafanikio biashara kuweza kuzalisha biashara sio mchezo.
*Nimefikilia nimeona nianzishe biashara ya kuuza maji kwenye bajaji (toyo)
MSAADA:
KAMA UNAFAHAMU SEHEMU WANAPO NUNUA NDOO KUBWA YA MAJI SHILINGI 500 NAOMBA NISAIDIE KUNITAARIFU.
POPOTE PALE MIMI NITAFIKA. KARIBUNI