chankele kigoma
Senior Member
- Jan 12, 2017
- 199
- 121
Habari zenu waheshimiwa, kama heading inavosema nahitati kubadirisha jina na hilo jina niwe nalitumia kwenye nyaraka zozote
Lakini sijui wapi pakuanzia ili kulibadilisha kihalali
Hivo basi naombeni muongozo wana jf
Lakini sijui wapi pakuanzia ili kulibadilisha kihalali
Hivo basi naombeni muongozo wana jf