MUTTAZ
JF-Expert Member
- Feb 27, 2016
- 296
- 237
Jamani habari za leo!
Naomba kupata uzoefu wa uvuvi wa samaki hasa Sangara ziwa Victoria, nahitaji kuanza kuvua samaki hao ila sina uzoefu juu ya gharama za kumiliki mtumbwi, bei ya nyavu au migonzo kama ninavyosikia ikiitwa na kipato kitakachopatikana.
Nimeona nije hapa nipate uzoefu kwa wale wanaojua au wenye ujuzi wa hili tafdhali.
Karibuni wavuvi wenzangu!
Naomba kupata uzoefu wa uvuvi wa samaki hasa Sangara ziwa Victoria, nahitaji kuanza kuvua samaki hao ila sina uzoefu juu ya gharama za kumiliki mtumbwi, bei ya nyavu au migonzo kama ninavyosikia ikiitwa na kipato kitakachopatikana.
Nimeona nije hapa nipate uzoefu kwa wale wanaojua au wenye ujuzi wa hili tafdhali.
Karibuni wavuvi wenzangu!