Nahitaji 'Kudanganywa' zaidi kuwa Maafande akina Mbuge na Gaguti wametumbuliwa kama RC's ili Kupandishwa Vyeo vya Kijeshi

Nahitaji 'Kudanganywa' zaidi kuwa Maafande akina Mbuge na Gaguti wametumbuliwa kama RC's ili Kupandishwa Vyeo vya Kijeshi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na mkinijibu hili naomba mniambie pia je, na wale waliokuwa Mawaziri akina Kabudi na Lukuvi tulioambiwa watakuwa Jirani nae hivi sasa wanafanya nini?

Kazi ipo.
 
Mama apnataka wanajeshi wafanye kazi walio ajiriwa nayo na sio kutengenza maji ya chupa na viwanda hewa vya Mwendazake
 
Mama anapanga safu mpya kuiondoa ile aliyolazimishwa Baada ya kuapishwa!!Baada ya kufanikiwa kumzima yule aliekua akimbonyeza yeye kama rimoti!!
 
Elimu zao za form six ulitaka ziwafikishe wapi?
Acha dharau
Gaguti, Igoti na Mbugi ni wasomi wazuri tu kukushinda wewe na elimu yako hiyo ya ngumbaru.kama huyo Igoti ni PhD kama sikosei.
 
Na mkinijibu hili naomba mniambie pia je, na wale waliokuwa Mawaziri akina Kabudi na Lukuvi tulioambiwa watakuwa Jirani nae hivi sasa wanafanya nini?

Kazi ipo.
Usipende kujadili habari za Jeshi hapa JF

Kuna mambo sheria za nchi zinatubana

Hata akina Max Melo wanafahamu hilo

Mambo ya Wizara ya ulinzi hapa Tanzania kuna miiko yake na limit zake hata Bungeni

Hao akina Gaguti na Ibughe, Nenda Ngome Upanga pale utawakuta kama Unahitaji kujua

Unafahamu kazi ya Brigedia Jeshini?
Unafahamu kazi za Major general Jeshini?

Unafahamu Tanzania tuna major na brigedia wangapi?

Sio mara ya kwanza wanajeshi kurudi Jeshini kwenda kuongoza

Sio rahisi kufika cheo cha Gaguti Jeshini kwa umri wake ule
 
Usipende kujadili habari za Jeshi hapa JF

Kuna mambo sheria za nchi zinatubana

Hata akina Max Melo wanafahamu hilo

Mambo ya Wizara ya ulinzi hapa Tanzania kuna miiko yake na limit zake hata Bungeni

Hao akina Gaguti na Ibughe, Nenda Ngome Upanga pale utawakuta kama Unahitaji kujua

Unafahamu kazi ya Brigedia Jeshini?
Unafahamu kazi za Major general Jeshini?

Unafahamu Tanzania tuna major na brigedia wangapi?

Sio mara ya kwanza wanajeshi kurudi Jeshini kwenda kuongoza

Sio rahisi kufika cheo cha Gaguti Jeshini kwa umri wake ule
Again, this is just as rubbish.

Usiwakuze hao ma bregedia wa nchi kama Tanzania, hawana lolote.

Generali Mabeho wakati anaondoka kasema changamoto kubwa kuliko zote alizokutana nazo katika career ya miaka 40 jeshini ni mafuriko ya mto Rufiji na kifo cha Magufuli.

Hawana la kufanya jeshini hawa watu.
 
Usipende kujadili habari za Jeshi hapa JF

Kuna mambo sheria za nchi zinatubana

Hata akina Max Melo wanafahamu hilo

Mambo ya Wizara ya ulinzi hapa Tanzania kuna miiko yake na limit zake hata Bungeni

Hao akina Gaguti na Ibughe, Nenda Ngome Upanga pale utawakuta kama Unahitaji kujua

Unafahamu kazi ya Brigedia Jeshini?
Unafahamu kazi za Major general Jeshini?

Unafahamu Tanzania tuna major na brigedia wangapi?

Sio mara ya kwanza wanajeshi kurudi Jeshini kwenda kuongoza

Sio rahisi kufika cheo cha Gaguti Jeshini kwa umri wake ule
Hakuna kitu pale,hivyo ni vyeo vya kawaida,Wala si vya pekee jeshini,hawana maajabu,kwa nchi hii hivyo vyeo unaweza pewa kwa mchongo tu,kama USA habari za jeshi lake zipo wazi sana na shughuri wanazofanya,sembuse jeshi la ulimwengu wa tatu,hao ma "brigedia"ni wakawaida tu,hakuna jeshi lenye mfumo wa Rushwa kama Hili letu,mtu wa kidato Cha SITA anapewa kiapumbele akasomee uafisa kuliko mtu mwenye degree!!ukiuliza unapewa sababu za hovyo kabisa za mwaka 47!!ohhh huyu mwenye shahada anaelimu ya ziada anaweza akaondoka jeshini!!!
Stupid stupid stupid,ndio maana tulikimbia jeshi baada ya kumaliza UD kutokana na huo upuuzi
 
Hakuna kitu pale,hivyo ni vyeo vya kawaida,Wala si vya pekee jeshini,hawana maajabu,kwa nchi hii hivyo vyeo unaweza pewa kwa mchongo tu,kama USA habari za jeshi lake zipo wazi sana na shughuri wanazofanya,sembuse jeshi la ulimwengu wa tatu,hao ma "brigedia"ni wakawaida tu,hakuna jeshi lenye mfumo wa Rushwa kama Hili letu,mtu wa kidato Cha SITA anapewa kiapumbele akasomee uafisa kuliko mtu mwenye degree!!ukiuliza unapewa sababu za hovyo kabisa za mwaka 47!!ohhh huyu mwenye shahada anaelimu ya ziada anaweza akaondoka jeshini!!!
Stupid stupid stupid,ndio maana tulikimbia jeshi baada ya kumaliza UD kutokana na huo upuuzi
Ulikimbia jeshi baada ya kumaliza UD ?,ulikua na cheo gani
 
Usipende kujadili habari za Jeshi hapa JF

Kuna mambo sheria za nchi zinatubana

Hata akina Max Melo wanafahamu hilo

Mambo ya Wizara ya ulinzi hapa Tanzania kuna miiko yake na limit zake hata Bungeni

Hao akina Gaguti na Ibughe, Nenda Ngome Upanga pale utawakuta kama Unahitaji kujua

Unafahamu kazi ya Brigedia Jeshini?
Unafahamu kazi za Major general Jeshini?

Unafahamu Tanzania tuna major na brigedia wangapi?

Sio mara ya kwanza wanajeshi kurudi Jeshini kwenda kuongoza

Sio rahisi kufika cheo cha Gaguti Jeshini kwa umri wake ule
Nonsensical.
 
Back
Top Bottom