Nahitaji 'Kudanganywa' zaidi kuwa Maafande akina Mbuge na Gaguti wametumbuliwa kama RC's ili Kupandishwa Vyeo vya Kijeshi

Nahitaji 'Kudanganywa' zaidi kuwa Maafande akina Mbuge na Gaguti wametumbuliwa kama RC's ili Kupandishwa Vyeo vya Kijeshi

Again, this is just as rubbish.

Usiwakuze hao ma bregedia wa nchi kama Tanzania, hawana lolote.

Generali Mabeho wakati anaondoka kasema changamoto kubwa kulizo zote katika career ya miaka 40 jeshini ni mafuriko ya mto Rufiji na kifo cha Magufuli.

Hawana la kufanya.
Mkuu achaneni nalo hilo Lipumbavu.
 
Usipende kujadili habari za Jeshi hapa JF

Kuna mambo sheria za nchi zinatubana

Hata akina Max Melo wanafahamu hilo

Mambo ya Wizara ya ulinzi hapa Tanzania kuna miiko yake na limit zake hata Bungeni

Hao akina Gaguti na Ibughe, Nenda Ngome Upanga pale utawakuta kama Unahitaji kujua

Unafahamu kazi ya Brigedia Jeshini?
Unafahamu kazi za Major general Jeshini?

Unafahamu Tanzania tuna major na brigedia wangapi?

Sio mara ya kwanza wanajeshi kurudi Jeshini kwenda kuongoza

Sio rahisi kufika cheo cha Gaguti Jeshini kwa umri wake ule
Kwamba unatutisha?
Kujadili mambo ya jeshi ni dhambi?
Tuondolee utoto wako, dunia ya leo nini cha kuficha kwa jeshi lenu kwa Nchi yenu masikini masikini.

Mnawaona watanzqnia wote ni waoga waoga.

Kiufupi tu hao watu suala la uongozi ni shida hawaendani na kiongozi wao. Full stop
 
Kwamba unatutisha?
Kujadili mambo ya jeshi ni dhambi?
Tuondolee utoto wako, dunia ya leo nini cha kuficha kwa jeshi lenu kwa Nchi yenu masikini masikini.

Mnawaona watanzqnia wote ni waoga waoga.

Kiufupi tu hao watu suala la uongozi ni shida hawaendani na kiongozi wao. Full stop
Hey....stop wasting your time with that Certified Fool okay?
 
Lina nini cha ziada hili jeshi lenu mpaka lisijadiliwe katika zama na enzi hizi? Kufunga barabara na kupiga raia mtaa mzima pale mmojawao akifumaniwa na mke wa mtu huko uraiani ama?

Hopulesi!
Huyo Mpumbavu nimemdharau hakuna Mfano.
 
Back
Top Bottom