GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Mkuu achaneni nalo hilo Lipumbavu.Again, this is just as rubbish.
Usiwakuze hao ma bregedia wa nchi kama Tanzania, hawana lolote.
Generali Mabeho wakati anaondoka kasema changamoto kubwa kulizo zote katika career ya miaka 40 jeshini ni mafuriko ya mto Rufiji na kifo cha Magufuli.
Hawana la kufanya.
Kwamba unatutisha?Usipende kujadili habari za Jeshi hapa JF
Kuna mambo sheria za nchi zinatubana
Hata akina Max Melo wanafahamu hilo
Mambo ya Wizara ya ulinzi hapa Tanzania kuna miiko yake na limit zake hata Bungeni
Hao akina Gaguti na Ibughe, Nenda Ngome Upanga pale utawakuta kama Unahitaji kujua
Unafahamu kazi ya Brigedia Jeshini?
Unafahamu kazi za Major general Jeshini?
Unafahamu Tanzania tuna major na brigedia wangapi?
Sio mara ya kwanza wanajeshi kurudi Jeshini kwenda kuongoza
Sio rahisi kufika cheo cha Gaguti Jeshini kwa umri wake ule
Hey....stop wasting your time with that Certified Fool okay?Kwamba unatutisha?
Kujadili mambo ya jeshi ni dhambi?
Tuondolee utoto wako, dunia ya leo nini cha kuficha kwa jeshi lenu kwa Nchi yenu masikini masikini.
Mnawaona watanzqnia wote ni waoga waoga.
Kiufupi tu hao watu suala la uongozi ni shida hawaendani na kiongozi wao. Full stop
Huyo Mpumbavu nimemdharau hakuna Mfano.Lina nini cha ziada hili jeshi lenu mpaka lisijadiliwe katika zama na enzi hizi? Kufunga barabara na kupiga raia mtaa mzima pale mmojawao akifumaniwa na mke wa mtu huko uraiani ama?
Hopulesi!