The Ideologist
JF-Expert Member
- Nov 11, 2012
- 486
- 256
Aisee, kuna rafiki yangu last week tulikua tunaongelea hii kitu. Kuna mtu anafanya training ya hizi makitu, sasa anachaji per group na fee ilionekana kuwa kubwa bado. Nitumie pm, then nitakutaftia namba ya hao trainers nikupatie ujipange. Wana train na kukupa guide wakati gani wa kuuza ama kununua.
Kwa yoyote Mwenye ufahamu juu ya biashara ya hisa faida, hasara zake Maana nataka kuwekeza uko?
naamini wataalam watanisaidia kwenye hili mfano hisa (share) CRDB, NMB, TWIGA NA kampuni yoyote kubwa ambao naweza kupata faida
kuna kuwekeza kwa muda mrefu (yaani miaka 5 na kuendelea) au kufanya biashara ya kuuza na kununua kutegemea upandaji na ushukaji wa bei za hisa.
binafsi naamini katika kuwekeza kwa muda mrefu yaani kununua hisa na kungojea kwa muda mrefu. japokuwa hii inataka moyo hususan bei za hisa inapoporomoka na kufika chini ya bei uliyonunua. wapo wengine wao wanajaribu "kuliotea soko" yaani kuuza na kununua kutegemea anahisi bei zinaelekea wapi.
kwa shule ya haraka haraka kuhusu biashara ya hisa (hiyo fool kwenye link isikukatishe tamaa) hebu pitia website hii Fool.com: Stock Investing Advice | Stock Research
mmmh,
hisa (share) hawawakezi jamani,
labda unachanganya na bonds.....
Bonds ni miamala ya fedha inayotumiwa na serikali au kampuni kupata pesa, na inakuwa ya miaka 5, 7 hadi 10.
mfano NMB inaweza ku-issue bonds kwa makampuni mengine lets say ya sh bilion 5 kwa muda wa miaka 7, kwa malipo ya sh 8 bilioni ikiiva na CRDB akanunua.......
likewise,serikali ndio muhusika mkubwa wa hii biashara ya bonds, ikikwama hupata pesa ya haraka kwa kuuza bonds kwa taasisi za fedha kama benk na kampuni zingine....
PJN
MBA Finance