Nahitaji kufanya biashara ya kuuza sukari kwa ujumla

Nahitaji kufanya biashara ya kuuza sukari kwa ujumla

SHIGOTTO

Senior Member
Joined
Sep 4, 2018
Posts
156
Reaction score
282
Wandugu habari za siku,

Ninafikiria kufungua biashara ya kuuza sukari kwa jumla, naamini ni bidhaa inayotumiwa na watu wengi kila siku na uhitaji wake hauna shaka, kwa yeyote mwenye ufahamu au anayejuwa changamoto zake naomba mawazo yenu.
 
Ni biashara nzuri,lkn sijui unataka ufanye Kwa scale ipi?(1)kama kuuza mfuko mmoja mmoja wa sukari Kwa wafanyabiashara wa rejareja (2) kuuza jumla Kwa wafanyabiashara wakubwa wanaoenda kuuza Tena Kwa warejareja.Scale ya kwanza lazima iwe mixer na bidhaa zingine kama sabuni,mafuta,ngano na Si sukari pekee na pia mtaji wa sukari hauwi mkubwa sana kwani ,Kwa scale ya pili,kwanza inahitaji uwe agent au sub agent wa wazalishaji wa sukari,pia inahitaji kuwa na mtaji mkubwa sana kwani unaweza ukaspecialize ktk sukari pekee na ukapiga pesa,mathlani uwe na uwezo wa kuleta Tani 10 ya sukari ambayo Kwa bei ya Sasa Si chini ya mil.230.kila la heli mkuu
 
Ni biashara nzuri,lkn sijui unataka ufanye Kwa scale ipi?(1)kama kuuza mfuko mmoja mmoja wa sukari Kwa wafanyabiashara wa rejareja (2) kuuza jumla Kwa wafanyabiashara wakubwa wanaoenda kuuza Tena Kwa warejareja.Scale ya kwanza lazima iwe mixer na bidhaa zingine kama sabuni,mafuta,ngano na Si sukari pekee na pia mtaji wa sukari hauwi mkubwa sana kwani ,Kwa scale ya pili,kwanza inahitaji uwe agent au sub agent wa wazalishaji wa sukari,pia inahitaji kuwa na mtaji mkubwa sana kwani unaweza ukaspecialize ktk sukari pekee na ukapiga pesa,mathlani uwe na uwezo wa kuleta Tani 10 ya sukari ambayo Kwa bei ya Sasa Si chini ya mil.230.kila la heli mkuu
Nimekata Tamaa milioni 200 +
 
Ni biashara nzuri,lkn sijui unataka ufanye Kwa scale ipi?(1)kama kuuza mfuko mmoja mmoja wa sukari Kwa wafanyabiashara wa rejareja (2) kuuza jumla Kwa wafanyabiashara wakubwa wanaoenda kuuza Tena Kwa warejareja.Scale ya kwanza lazima iwe mixer na bidhaa zingine kama sabuni,mafuta,ngano na Si sukari pekee na pia mtaji wa sukari hauwi mkubwa sana kwani ,Kwa scale ya pili,kwanza inahitaji uwe agent au sub agent wa wazalishaji wa sukari,pia inahitaji kuwa na mtaji mkubwa sana kwani unaweza ukaspecialize ktk sukari pekee na ukapiga pesa,mathlani uwe na uwezo wa kuleta Tani 10 ya sukari ambayo Kwa bei ya Sasa Si chini ya mil.230.kila la heli mkuu
Mkuu tani 10 kwa 230M sidhani kama ni sahihi,maana tani 10 ni sawa na kilo 10000 ambapo kwa mtaani bei ya rejareja kilo inakadiriwa inauzwa 3000/= ambayo kwa hizo tani 10 ni sawa na 30M.
 
Jamaa yuko sahihi kabisa tani 10 mtaji wake ni milioni 230+, sasa sijui hiyo 30m umeipataje? au hujui bei ya mfuko wa sukari?.
Mkuu tani 10 kwa 230M sidhani kama ni sahihi,maana tani 10 ni sawa na kilo 10000 ambapo kwa mtaani bei ya rejareja kilo inakadiriwa inauzwa 3000/= ambayo kwa hizo tani 10 ni sawa na 30M.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure iyo biashara lazima uwe na mtaji mkubwa kama jamaa alivoshauri hapo juuu..coz Kwa sasa Kila mkoa tayari Kuna waliomonopolizy hyo business ni maajent wakubwa wanachukua direct viwandan then wao wanasupply kwenye maduka ya jumla Kwa bei POA kabisa..wengine Kwa tamaaa wanasupply Hadi Kwa maduka ya rejareja..

Mfano hao wanaitwa wasoko google uone jinsi wanaoparate hyo biashara hapa tz..wanamagodown yao Kila Kona.. wanachukua viwandan then wanaweka kwenye godown zao na Kuanza tafuta wateja na gari zao canter na carrier..jamaa aliekushaur uwe na mtaji mkubwa ni sahihi coz ili uweze shindana nao lazima na ww uchukue viwandan direct
 
Wandugu habari za siku,

Ninafikiria kufungua biashara ya kuuza sukari kwa jumla, naamini ni bidhaa inayotumiwa na watu wengi kila siku na uhitaji wake hauna shaka, kwa yeyote mwenye ufahamu au anayejuwa changamoto zake naomba mawazo yenu.
Kwanini usiuze chumvi? Halafu badala ya sukari ukawa unauza jwisi ya miwa?
Utapiga hela kishenzi type.
 
Ni biashara nzuri ila swali je unahitaji kuuza ya hapa nyumbani au uitoe huko zambia na Uganda ulete hapa ? Legally au illegally

Je kama ni illegally una mbinu maana inabidi uwe na mtaji wa connection mipakani ?

Je legally unahitaji kujua vibali ? Je viwandani ushamalizana na watu wa middle ?

Karibu
 
Una mtaji? Sukari sio kama bidhaa nyingine, ile ni dhahabu iliyo katika chenga chenga.
 
Back
Top Bottom