Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani hum ndani
Jamani namimi nataka kufanya biashara ya rim paper bt natakakuchilia mzgo Nairobi Kenya bt cjui huko katoon moja ya rim paper wanauza sh ngapi, jamani wadau nisaidien kujua
rim papers kwa Uganda , Kenya na Tanzania zipo juu labda ujaribu kuzitoa Afrika kusini kwenye viwanda au mataifa jirani na Afrika kusini kama Zambia au Zimbabwe na naamini Msumbiji pia zitakua chini kwani wanazitoa SA ambapo ni karibu
Kwani hakuna supplies wa kufikisha dar? Ni adi uende kigoma pale pale?
na vipi kuhusu watu wa ushuru, hawatasumbua njiani? maana mara nyingi wanavizia mabasi yanayotoka huko wakijua kuwa lazima kuna wafanyabiashara waliofunga mzigo wa vitenge...