Nahitaji kufanya kitu kama cha MAK JUICE mkoani

Nahitaji kufanya kitu kama cha MAK JUICE mkoani

Asante sana mkuu for the info..nashkuru aisee.
Jamaa alikuwa golikipa mzuri sana pale ikizu secondary.....

Ila naona kaupa mpira kisogo na kuingia kwenye ujasiliamali....

Safi sana Mr Makoye Filbert (Mak Juice)
 
Back
Top Bottom