Otto Mendez
Member
- May 1, 2017
- 50
- 13
Wasalaam wana jf
Nahitaji kujua gharama za kufanya mabadiliko kwenye kampuni yangu kama yafuatayo kumtoa director na kumuingiza director mpya,kubadilisha mwenyekiti na address, kubadilisha umilikaji(Hisa) na kubadilisha jina la kati kati ila la mwanzo kubakia. Je documents gani zinahitajika na inachukua muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kujua gharama za kufanya mabadiliko kwenye kampuni yangu kama yafuatayo kumtoa director na kumuingiza director mpya,kubadilisha mwenyekiti na address, kubadilisha umilikaji(Hisa) na kubadilisha jina la kati kati ila la mwanzo kubakia. Je documents gani zinahitajika na inachukua muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app