Jovanny hm
Member
- Jun 5, 2019
- 31
- 25
Habari zenu humu ndani,
nahitaji kufanya manunuzi online ila sanduku la posta ndo tatizo, nimejaribu kufuatilia nyuzi kazaa zinazohusiana na manunuzi online, nikaona kuna uwezekano wa kuagiza bila box kwa kuweka namba ya simu na mzigo ukifika posta wanakujulisha. Naomba kwa anayejua charges za TRA kwa vitu vidogo kama simu,flash,memory card etc anijuze,
nahitaji kufanya manunuzi online ila sanduku la posta ndo tatizo, nimejaribu kufuatilia nyuzi kazaa zinazohusiana na manunuzi online, nikaona kuna uwezekano wa kuagiza bila box kwa kuweka namba ya simu na mzigo ukifika posta wanakujulisha. Naomba kwa anayejua charges za TRA kwa vitu vidogo kama simu,flash,memory card etc anijuze,