Nahitaji kufanya operation ya kuondoa bawasiri

Nahitaji kufanya operation ya kuondoa bawasiri

Umejaribu Dawa za Asili bosi wangu? Nilishasikia Zinasaidia na hairudi.
Pole sanaaa
 
Ilishawahi andikwa hii humu mgagani ni dawa Sasa namna ya kuundaa jaribu kutafuta humuhumu
 
Wakuu nahitaji kufanya hiyo operation husika napata maumivu ya hatari,Ni hospital gani yenye watu makini katika Hilo swala?

 
Nahisi ungejaribu dawa hasa za asili/ki sunnah kuliko operation. Maana nasikia operation inaondoa tatizo kwa muda tu.

Wengi waliopona ni kwa dawa za asili.
 
Tatizo moja sisi wabongo huwa tunaficha sana baadhi ya magonjwa
hadi hali iwe tete ndio tunafunguka.
 
Nahisi ungejaribu dawa hasa za asili/ki sunnah kuliko operation. Maana nasikia operation inaondoa tatizo kwa muda tu.

Wengi waliopona ni kwa dawa za asili.
Nitafutie link ya hizo dawa
 
wajuvi eeh... hivi kupona kabisa after hio operation huchukua muda gani?!
maana nmetumia kila aina ya dawa za asili ila matokeo hamna
 
wajuvi eeh... hivi kupona kabisa after hio operation huchukua muda gani?!
maana nmetumia kila aina ya dawa za asili ila matokeo hamna
Muongo.Watu kila siku wanapona bawasiri kwa dawa za asili.
 
Nicheki nikupe dawa ya kupaka tu kwa bawasir ya nje au ya ndan

0712505049
InCollage_20231224_142418644.jpg
 
Back
Top Bottom