SON OF THE LAND
JF-Expert Member
- Oct 7, 2015
- 204
- 210
Tafadhali wakuu kwa mtu aliewahi au ambae anafanya biashara ya kuingiza biashara toka china naomba anisaidie vitu kadhaa
1: Ni Miji au mji gani ndio vitu au bidhaa tofauti hupatikana kwa mfano; Laptop, simu e.t.c
2: Malazi kwa china kiasi gani kina cost, na kama kuna sehemu za bei nafuu naomba kujuzwa
3: Usafirishaji wa bidhaa inakuaje
4: Ubebaji wa pesa ni kwa njia ipi bank transfer au ipi?
Thanks
Sent using Jamii Forums mobile app
1: Ni Miji au mji gani ndio vitu au bidhaa tofauti hupatikana kwa mfano; Laptop, simu e.t.c
2: Malazi kwa china kiasi gani kina cost, na kama kuna sehemu za bei nafuu naomba kujuzwa
3: Usafirishaji wa bidhaa inakuaje
4: Ubebaji wa pesa ni kwa njia ipi bank transfer au ipi?
Thanks
Sent using Jamii Forums mobile app