Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu we ni mrembo sana hivyo kukuona ukiinama kuchukua sufuria then ukiinama kuchota maji mhhh in short kuvumilia hapo sitawezaKwanini ustadhijuma?
Itabidi uvumilie tu ustadhi kama unataka kulaMkuu we ni mrembo sana hivyo kukuona ukiinama kuchukua sufuria then ukiinama kuchota maji mhhh in short kuvumilia hapo sitaweza
mhhh Mimi ni rijali sitaweza kwa kweliItabidi uvumilie tu ustadhi kama unataka kula
Ayo mengine tutafanya badae [emoji5]
Ukipata nijulishe na mie, napenda sana mapishi, hata ikiwa sehemu ya kulipia sawa.... Nadhani wapemba ni wapishi wazurinimekujibu kwa PM Mkuu!! Tafadhali soma PM yangu nimeandika location yangu Mkuu!!
shukrani sana mkuu