Baada ya miezi 6 wataelewa unamaanisha nini Leo.Mkuu. Soi wivu. Namuandaa kisaikolojia.
Axela sports je? Nataka kuvuta hiiNasikia hizi rotary engine hazidumu. Hii gari haitumii engine ya Piston.
Sihifahamu vizuri hii gari. Ngoja nitatafuta taarifa zake.
Usiache kunitag. Nime anzisha uzi piaSihifahamu vizuri hii gari. Ngoja nitatafuta taarifa zake.
hatari mara nyingi kwa wale wa majukwaa ya siasa... lakini kama mtu ww ni wajukwaa la chit chit..jf garaje...MMU ..jf Doctor na majukwaa mengine ambayo nature yake haujadili maslahi ya watu hata ukitumia id ya kweli hakuna shida