Nahitaji kufungua maabara ya afya kimbiji msaada

Nahitaji kufungua maabara ya afya kimbiji msaada

s8plus

Member
Joined
Aug 14, 2017
Posts
74
Reaction score
25
Kama title inavyojieleza wadau, nataka kufungua maabara ya vipimo vya afya kwa kigamboni kimbiji. Je kuna anayefahamu sehemu yenye uhitaji wa huduma hii?
 
mkuu huduma ya afya inahitajika kila sehemu. wewe nenda tu
 
Wewe ushasema kimbiji unataka sehemu nyingine tena wakati kule hujafungua?
 
Back
Top Bottom