kabagambe rubajuma
Member
- Oct 14, 2017
- 84
- 51
Lengo la uzii huu ni kueleweshana juu ya biashara za migahawa, changamoto zake, na jinsi ya kuzitatua.
Na mpango wa kufungua mgahawa wa kuuza chakula naombeni ushauri wenu ni vipi vya kuzingatia zaidi. ASANTE
Na mpango wa kufungua mgahawa wa kuuza chakula naombeni ushauri wenu ni vipi vya kuzingatia zaidi. ASANTE