Nahitaji kufungua saloon ya kike; Naomba mchanganuo

Joasi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
766
Reaction score
674
Habari,

Nataka kufungua Saloon ya kike nipo geita kijijini lakini si Sana, mtaji ni 2m, naomba mchanganuo wapendwa kwa wenye utaalam na uzoefu naomba tusaidiane kwenye hili.

Asante.
 
Mchanganuo ambao utanisadisia kufungua na kuendesha hii biashara
 
hello guyz, nahitaji kufungua salon ya kike katika mji wa MOSHI, plan yangu pia ni iwe pia inatoa huduma za bidhaa mbali mbali related na solon ya kike, ombi langu ni kutaka kujua kutoka kwa watu wazoef ni changamoto gani ninaweza kumbana nazo na utatuzi wake ukizingatia mimi ni kijana wa kiume,single,na mwajiriwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…