0683736752 Member Joined Nov 5, 2019 Posts 8 Reaction score 1 Jun 2, 2020 #1 Ndugu wanasheria naomba kujua, kutokana na ripoti ya CAG ndani ya chama cha walimu CWT aliibua madudu mengi, naomba kujua nahitaji kufungua kesi dhidi ya CWT mashitaka yangu yanapaswa yaweje na ni mahakama ipi inatakiwa kupeleka kesi hiyo?
Ndugu wanasheria naomba kujua, kutokana na ripoti ya CAG ndani ya chama cha walimu CWT aliibua madudu mengi, naomba kujua nahitaji kufungua kesi dhidi ya CWT mashitaka yangu yanapaswa yaweje na ni mahakama ipi inatakiwa kupeleka kesi hiyo?
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 Jun 2, 2020 #2 Kwani mkuu umekosa kazi yakufanya? Mpaka uanze kushinda mahakamani.
0683736752 Member Joined Nov 5, 2019 Posts 8 Reaction score 1 Jun 2, 2020 Thread starter #3 owomkyalo said: Kwani mkuu umekosa kazi yakufanya? Mpaka uanze kushinda mahakamani. Click to expand... Kwanini inasema hivyo?
owomkyalo said: Kwani mkuu umekosa kazi yakufanya? Mpaka uanze kushinda mahakamani. Click to expand... Kwanini inasema hivyo?
Joasi JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 766 Reaction score 674 Jun 2, 2020 #4 Ni haki yake fuata utaratibu ikiwemo kupata mshauri wa maswala ya sheria ili kuishitaki. Kujipanga kiuchumi pia ni nzuri
Ni haki yake fuata utaratibu ikiwemo kupata mshauri wa maswala ya sheria ili kuishitaki. Kujipanga kiuchumi pia ni nzuri
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 Jun 2, 2020 #5 0683736752 said: Kwanini inasema hivyo? Click to expand... Wewe ninani hapa Tz au wewe ni nimwalimu?
Babarazack Senior Member Joined Sep 9, 2015 Posts 132 Reaction score 156 Jun 2, 2020 #6 Mshtakie mungu kwanza kuhusu maisha yako,I mean pambana na hali yako ukishinda kesi dhidi ya maisha yako hiyo CWT haitakuwa na tuhuma yoyote kwako.
Mshtakie mungu kwanza kuhusu maisha yako,I mean pambana na hali yako ukishinda kesi dhidi ya maisha yako hiyo CWT haitakuwa na tuhuma yoyote kwako.