Nahitaji kujenga nyumba Kibaha bajeti milioni 7

Nahitaji kujenga nyumba Kibaha bajeti milioni 7

MUBIKU

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
283
Reaction score
384
Wakuu nimejichanga nimefanikiwa kukusanya miilliomn 7, nina kiwanja Kibaha, naomba ushauri kwa million 7 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu, choo na sebule?

Mwenye mawazo ya bajeti hii na aina ya nyumba naombeni mtazamo wenu.
 
Inakuaje gharama ikawa kubwa hivyo?
Jamaa huyo kajenga huko kanda ya ziwa cement ni 18k mfuko.

Ila mi nataka nijenge Chumba na sebule kikali, bajeti km 10M hv
Wakati mwingine unaweza ukaona ni rahisi lakini ukiingia site gharama zinabadilika sana.
Kuna vitu kadhaa ambavyo vinapandisha gharama kama vile eneo unalojenga ni tambarare au mlimani. Hapa naongelea gharama za foundation na nguzo.
Umbali was sehemu unapochukulia material na bei ya material.
Kikubwa cha kuzingatia uwe na Fundi mzuri na asikosee kukupigia mahesabu ya vifaa
 
Wakati mwingine unaweza ukaona ni rahisi lakini ukiingia site gharama zinabadilika sana.
Kuna vitu kadhaa ambavyo vinapandisha gharama kama vile eneo unalojenga ni tambarare au mlimani. Hapa naongelea gharama za foundation na nguzo.
Umbali was sehemu unapochukulia material na bei ya material.
Kikubwa cha kuzingatia uwe na Fundi mzuri na asikosee kukupigia mahesabu ya vifaa
Kweli mkuu!!
Nimekuelewa!
 
Hiyo hela Inatosha kabisa, kikubwa materials yawe karibu tu
 
Utafika level ya pagala hadi linta,utaongeza tena kama 8 nyingine ili uhamie.
-Matofali =1800 (1.8m)
-Gharama ya Ufundi (1500 +600 =2100 x 300 =630,000)
-Kuchimba Msingi (Laki 1)
-Cement Mifuko 60 (60 x 14000 =840,000/=)
-Mchanga Mende 1 (250,000/=)
-Kokoto 1 (130,000/=)
-Lintel gharama(Nondo 30 na Mifuko 6 ya cement = 700,000)

Hapo Juu hadi linta una kama 5m hivi.
 
Utafika level ya pagala hadi linta,utaongeza tena kama 8 nyingine ili uhamie.
-Matofali =1800 (1.8m)
-Gharama ya Ufundi (1500 +600 =2100 x 300 =630,000)
-Kuchimba Msingi (Laki 1)
-Cement Mifuko 60 (60 x 14000 =840,000/=)
-Mchanga Mende 1 (250,000/=)
-Kokoto 1 (130,000/=)
-Lintel gharama(Nondo 30 na Mifuko 6 ya cement = 700,000)

Hapo Juu hadi linta una kama 5m hivi.
Hapo kwenye mchanga itagemea pia kiwanja ni tambarare au mwinuko
 
Utafika level ya pagala hadi linta,utaongeza tena kama 8 nyingine ili uhamie.
-Matofali =1800 (1.8m)
-Gharama ya Ufundi (1500 +600 =2100 x 300 =630,000)
-Kuchimba Msingi (Laki 1)
-Cement Mifuko 60 (60 x 14000 =840,000/=)
-Mchanga Mende 1 (250,000/=)
-Kokoto 1 (130,000/=)
-Lintel gharama(Nondo 30 na Mifuko 6 ya cement = 700,000)

Hapo Juu hadi linta una kama 5m hivi.
Kokoto ya wap hyo laki na 30,, kwenye fuso au canter
 
Wakuu nimejichanga nimefanikiwa kukusanya miilliomn 7 , nna kiwanja kibaha ,naomba ushaur kwa million 7 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu ,choo na sebule. mwenye mwazo ya bajeti hii na aina ya nyumba naomben mtazamo wenu.
Iyo itatosha kujenga 1 master na sitting room na jiko la kiskaji kama hii
20180528_110806.jpg
 
Utafika level ya pagala hadi linta,utaongeza tena kama 8 nyingine ili uhamie.
-Matofali =1800 (1.8m)
-Gharama ya Ufundi (1500 +600 =2100 x 300 =630,000)
-Kuchimba Msingi (Laki 1)
-Cement Mifuko 60 (60 x 14000 =840,000/=)
-Mchanga Mende 1 (250,000/=)
-Kokoto 1 (130,000/=)
-Lintel gharama(Nondo 30 na Mifuko 6 ya cement = 700,000)

Hapo Juu hadi linta una kama 5m hivi.
Mkuu tofali fafanua kidogo
 
Back
Top Bottom