1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
poapoa karamani hata PM basi,, najua ulitoa ela,, plz kama hutojaliKwa kuongeza vyumba sijajua gharama yake itakua kiasi gani.. maana mm ninitaka getola kuanzia maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poapoa karamani hata PM basi,, najua ulitoa ela,, plz kama hutojaliKwa kuongeza vyumba sijajua gharama yake itakua kiasi gani.. maana mm ninitaka getola kuanzia maisha
Bro inategemea jinsi unavyotaka nyumba yako iwe imara,wengine hiyo budget ya jamaa 7mill ilikuwa haitoshi hata kumalizia msingi.Wapi huko mkuu?
Mbona jamaa yangu kajenga kama wewe kwa 6M na kahamia kabisa?
Ila madirisha ni ya nyavu!!
Angewekaa vioo ingefika 8M
36Nyumba ina sqm ngapi?
Kwa leo nipo nayo mbali ila kwa nyuma inaonekana hivipoapoa karamani hata PM basi,, najua ulitoa ela,, plz kama hutojali
goodKwa leo nipo nayo mbali ila kwa nyuma inaonekana hiviView attachment 813499
Anaepajua kwa mzee kashindye aje pmWakuu nimejichanga nimefanikiwa kukusanya miilliomn 7 , nna kiwanja kibaha ,naomba ushaur kwa million 7 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu ,choo na sebule. mwenye mwazo ya bajeti hii na aina ya nyumba naomben mtazamo wenu.
Wakuu nimejichanga nimefanikiwa kukusanya miilliomn 7 , nna kiwanja kibaha ,naomba ushaur kwa million 7 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu ,choo na sebule. mwenye mwazo ya bajeti hii na aina ya nyumba naomben mtazamo wenu.[/QUOTE
goodDAH MAN SINA NYUMBA BADO WALA GARI BADO ILA NAJITEGEMEA NA NINA KIWANJA BUT UNAJENGAJE NYUMBA NA ELA YA GARI WEWE BRO ONGEZA ENDELEA KUCHANGA WALAU IFIKE 15M UTAJENGA NYUMBA NZURI KAMA HIO KOMAAA CHANGA AU JAMANI EEEH TUFANYENI HARAMBEEE HAPA KWA JAMAA SI MNACHANGIAGA MAHARUSI hahaha BASI LEO TUTIMIZE NDOTO YA HUYU BRAZA AU SISTA AMEFIKA NUSU YA SAFARI YAKE YA NYUMBA TAJWA BADO MILIONI NGAPI NI 8M TUMFANYIENI MCHANGO????? alafuu wewe next time maybe
Nimeipenda!Iyo itatosha kujenga 1 master na sitting room na jiko la kiskaji kama hiiView attachment 813237
Ha haa haaa hizo sawa mkuu,Ni Kubwa zile za Block zinatosha kwa vyumba vitatu maana vyumba viwili vitashare ukuta.(Kuta mbili zitakufa)
Width =230mm
Height =150mm
Length =450mm
View attachment 813494