Ukitaka cheti nenda UCC, ukitaka kujua nenda kwenye hivi vyuo vya WAHINDI (Learn IT, New Horizon, CATS n.k). Suala la vyeti kutambulika ni ufukunyuku wa serikali yetu na ndio maana hatuendelei. Haya matatizo unayoyaona tiGO mtandao mara uko hivi mara vile ni matunda ya vyeti.
Huyo anayekwambia hbr za wewe kuwa na Div III hilo halimo. Division 5 ndio haina mashiko na kamwe usikatishwe tamaa na stupid academic rubbish. Go vocational dear boy na ukitaka kujua kuwa hao wanaojifanya wana high marks si kitu, angalia jinsi walivyoajiriwa kwa wingi na Bakhressa ambaye sidhani kama yeye ndio msomi saaaaaana. Go for skills, sio vyeti.