Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
wakifika secondary, nikijaaliwa uzimaWapeleke shule ya jeshi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakifika secondary, nikijaaliwa uzimaWapeleke shule ya jeshi mkuu
Ina itwa gojuryu Mkuukipindi nasoma chuo mbeya,mwanjelwa kulikuwa na watu 2 maarufu,shetani na yesu,yesu alikuwa na gym airport ya zamani,pembeni ya uwanja,miaka ya 1998,nilijifunzia hapo karate za shutokani,baadae nilijiendeleza na gwejuluu,lakini cjawahi pigana na mtu,na kizuri zaidi mimi ni mlokole.
🤣🤣Kuna zile stori kwamba siku ya kwanza unaambiwa upige push up mia tatu 😂
👍Ungekuwa dar ilikuwa rahisi kupata walimu mkuu!
Kipindi ni sh 15,000? Una Dan mbili?Kwa wanaohitaji kujifunza Martial arts,
Self - defence
Wanaweza kunicheki
Tuma neno "Martial arts"
0693322300
Uwe Dar es salaam.
Dojo lipo Upanga karibu na ubalozi wa uswizi,
Jingine Mikocheni Pale Azura.
Tsh 15,000 Kwa kipindi,
Kwa mwezi 140,000/=
Me nitakutafuta mkuu maana saiv naona bila kuwa na uwezo wa kujilinda sasa kuna hatari zaid huku tuendako... sema mimi nina mikwara ya vitendo ukija vibaya na mafunzo yako utajuta.Kwa wanaohitaji kujifunza Martial arts,
Self - defence
Wanaweza kunicheki
Tuma neno "Martial arts"
0693322300
Uwe Dar es salaam.
Dojo lipo Upanga karibu na ubalozi wa uswizi,
Jingine Mikocheni Pale Azura.
Tsh 15,000 Kwa kipindi,
Kwa mwezi 140,000/=
Me nitakutafuta mkuu maana saiv naona bila kuwa na uwezo wa kujilinda sasa kuna hatari zaid huku tuendako... sema mimi nina mikwara ya vitendo ukija vibaya na mafunzo yako utajuta.
Me huwa sipigani ngumi na mtu,, mtu akinizingua nikiona tunaelekea kupigana kabisa huwa najiham na silaha yoyote iliyo karibu.
Yes, kifupi atakuwa ni mwepesi wa kuepuka ugomvi, hii wengi tuliopitia Martial Arts huwa tunakuwa nayo, sio rahisi kugombana na mtu mpaka muanze kupiganaHata hivyo utafundishwa kujizuia maana unafundishwa kujilinda
Mnafundisha mchezo gani?Kwa wanaohitaji kujifunza Martial arts,
Self - defence
Wanaweza kunicheki
Tuma neno "Martial arts"
0693322300
Uwe Dar es salaam.
Dojo lipo Upanga karibu na ubalozi wa uswizi,
Jingine Mikocheni Pale Azura.
Tsh 15,000 Kwa kipindi,
Kwa mwezi 140,000/=
sema sasa kuwapata waalimu wa hizi mambo kwa huku mkoani inakuwa shida balaa.,.Acha ugomvi kwanza,
martial arts zipo nyingi sana, ila kama hutaki kupoteza muda piga kick boxing au muay thai... Very offensive and deadly
karate inahitaji program ya kuanzia 4 to 6 months ya awali kitu ambacho wengi huishia njiani wanakimbia.
kick boxing na muay thai hazina mlolongo wa kata kama karate kikubwa kujituma, unawewa kuwa poa kuanzia 1 to 4 months unakarisha 2 to 4 unarmed men (ordinary).
Ohhhh ndio wewe ungethubutu kunipiga chupa kazi ungeionaWasalaaaaam wazee.
Ni kwa muda mrefu sana nimekuwa nikipenda kujifunza sanaa za mapigano.
Sasa wadau naamini humu kuna wakongwe na wajuzi wa mambo haya mnaweza kunipa ushauri...
Je ni sanaa ipi ya mapigano iko strong kwa maana ya self defence, sihitaji kuwa mkorofi ila mtu akijichanganya vibaya hilo pigo atakalopewa akasimulie ukoo wao wote.
Nipo Mbeya. Kwa wanaojua mkoa wa mbeya mafunzo hayo nitayapata wapi naomba anijuze.
Kuna ishu iliniitokea juzi siku ya iddi mosi, nikaenda pub moja hivi matata sana kwajili ya kupata ulabu na mbuzu choma kidogo
Sasa nikiwa mule ndani kuna jamaa mmoja tukazinguana vikali tu nikasimama kwajili ya mpambano maana naye alionesha wazi anataka tupigane.....nikajipanga mkao wa vita sasa...... Eebwanaeeee nilikula pigo moja hivi la ajabu kisha akanimalizia na teke moja hivi nikaona sasa huyu simuwezi maana anaonekana anamafunzo ya kupigana wakati mimi sina. Nikataka kumtwisha chupa la kvant wadau wakaja kuzuia pale.
Na mimi nataka kujua kupigana maana sasa tunakoelekea sio kuzuri.
Wapeleke wakiwa wadogo Kama unataka kweli wawe wa moto, hii itasaidia kuwapunguzia maumivu. Ila akiwa mkubwa Kuna mawili, atapitia maumivu makali mpaka kuwa mtu hatari zaidi au ataishia tu kuwa hawa wanaomiliki black belt na kutamba mitaani.wakifika secondary, nikijaaliwa uzima