Benjamin10
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 409
- 598
Wakuu habari za usiku..
Naomba niende kwenye swali moja kwa moja. Mimi nimetokea kuupenda sana mchezo wa draft lakini sasa sijajua namna ya kuucheza vyema.
Je draft inaformula yeyote ambayo ukiifuata unakua mchezaji mzuri?
Naomba niende kwenye swali moja kwa moja. Mimi nimetokea kuupenda sana mchezo wa draft lakini sasa sijajua namna ya kuucheza vyema.
Je draft inaformula yeyote ambayo ukiifuata unakua mchezaji mzuri?