Nahitaji kujua formula za kucheza draft

Benjamin10

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2016
Posts
409
Reaction score
598
Wakuu habari za usiku..

Naomba niende kwenye swali moja kwa moja. Mimi nimetokea kuupenda sana mchezo wa draft lakini sasa sijajua namna ya kuucheza vyema.

Je draft inaformula yeyote ambayo ukiifuata unakua mchezaji mzuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…