Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation SystemHabari ndugu zangu,
Mimi kama nilivoeleza hapo juu , nina ndugu yangu anataka kuniagizia gari aina ya IST ya mwaka 2011 kutoka japan , sasa nilikua nahitaji kujua gharama ni kiasi gani kulitoa bandarin mpaka linifikie natakiwa niwe na bei gani.au kama kuna mtu ana link itakayoniwezesha kuangalia nitashukuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili li nchi Kama tuko utumwani Yani kodi inazidi Bei halisi ya bidhaa.hongera
ushuru kwa mujibu wa tra calculator ni Tshs 7,175,000
Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation System
Naamini, serikali itakuja kukaa chini na kupitia upya .. bila shaka watarejebishaHili li nchi Kama tuko utumwani Yani kodi inazidi Bei halisi ya bidhaa.
Ma.maeeeee
Haitakuja kutokeaNaamini, serikali itakuja kukaa chini na kupitia upya .. bila shaka watarejebisha
Kuna watu wenyewe kazi yao ni kusaidia kulipia watu ushuru, na anarejeshewa kwa awamu mbili.
Maana unakuta, kuna muda mtu anakua na pesa ya kuagizia tu gari, ila ya kulipia ushuru hana.
Haitakuja kutokea