sherberry
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 306
- 364
Habari ndugu zangu,
Mimi kama nilivoeleza hapo juu , nina ndugu yangu anataka kuniagizia gari aina ya IST ya mwaka 2011 kutoka japan , sasa nilikua nahitaji kujua gharama ni kiasi gani kulitoa bandarin mpaka linifikie natakiwa niwe na bei gani.au kama kuna mtu ana link itakayoniwezesha kuangalia nitashukuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kama nilivoeleza hapo juu , nina ndugu yangu anataka kuniagizia gari aina ya IST ya mwaka 2011 kutoka japan , sasa nilikua nahitaji kujua gharama ni kiasi gani kulitoa bandarin mpaka linifikie natakiwa niwe na bei gani.au kama kuna mtu ana link itakayoniwezesha kuangalia nitashukuru.
Sent using Jamii Forums mobile app