Kuna njia mbili kuu za kusajiri biashara:-Nina wazo langu la biashara ambalo lipo katika hatua za awali kabisa ambapo itachukua mpaka miezi 4 kukaa sawa. Sasa nafikiria kusajiri jina la biashara ili iwe mwanzo tu kulifanyia kazi wazo langu. Kwa sasa naona haina ulazima wa kuwa na ofisi na sihitaji kujisajiri katika mamlaka za kodi na zingine kama zipo. Naomba kujua kama inawezekana, nisije nikajisajiri ndo wakaanza kuniletea mambo za kodi wakati sijaanza kugenerate pesa. Wasalaam.
Appreciate that mkuu..Kuna njia mbili kuu za kusajiri biashara:-
1. Nenda Brela ukiwa na taarifa husika, watakupa fomu na kuijaza kisha kuwarudishia. Baada ya siku chache utasijiriwa jina la biashara yako. Utalipia kiasi kidogo sana cha fedha. TAHADHARI: Epuka Vishoka.
2. Tembelea Website yao (www.brela.go.tz) amabyo mbali na kupata taarifa husika za usajiri wa jina, lakini pia unaweza kujisajiri online.
3. Unaweza kuni Pm kwa msaada zaidi.
4. Kuhusu taarifa za Kodi tembelea www.tra.go.tz.