MaMals
Member
- Oct 31, 2013
- 46
- 7
Nina wazo langu la biashara ambalo lipo katika hatua za awali kabisa ambapo itachukua mpaka miezi 4 kukaa sawa. Sasa nafikiria kusajiri jina la biashara ili iwe mwanzo tu kulifanyia kazi wazo langu. Kwa sasa naona haina ulazima wa kuwa na ofisi na sihitaji kujisajiri katika mamlaka za kodi na zingine kama zipo. Naomba kujua kama inawezekana, nisije nikajisajiri ndo wakaanza kuniletea mambo za kodi wakati sijaanza kugenerate pesa. Wasalaam.