Duniatunapita man
Senior Member
- May 5, 2024
- 181
- 252
Habari wadau,. Kama mada inavyojieleza, nahitaji kupata uelewa wa biashara ya kukoboa na Kusaga mahindi. Ninapenda kuwa na mashine kwaajili hiyo Ili niweze kudunduliza kipato (mashine ya kutumia umeme).
Ni usagaji wa rejareja tu mtaani. Nahitaji kufahamu bei za mashine mpya na used. Gharama za uendeshaji K.V kodi za TRA, umeme, service n.k.
Pia vyanzo vya hasara na faida yake,. Eneo ni mkoani (Songea).
Ni usagaji wa rejareja tu mtaani. Nahitaji kufahamu bei za mashine mpya na used. Gharama za uendeshaji K.V kodi za TRA, umeme, service n.k.
Pia vyanzo vya hasara na faida yake,. Eneo ni mkoani (Songea).