magasi jnr
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 364
- 560
Jamani msaada, nahitaji kujua kama jiwe hili kwenye (picha hapo chini) kama lina dhahabu.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So linaweza kuwa na dhahabuNdio..Lina rangi rangi za dhahabu kwa mbali
Hivi kwenda kuuza kwenye soko la madini ni lazima uwe na kibali chochote?Huwezi kujua kwa kuliangalia tu...nenda GST au ofisi ya madini kanda huko ulipo, ni mpaka lifanyiwe vipimo.
Hapana sio lazima uwe na kibali, ila uwe na maelezo ya wap unatoa hayo madini.Ivi kwenda kuuza kwenye soko la madini ni lazima uwe na kibali chochote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa taarifa.Hapan sio lazima uwe na kibali, ila uwe na maelezo ya wap unatoa hayo madini
Ipo mkuuJamani msaada, nahitaji kujua kama jiwe hili kwenye (picha hapo chini) kama lina dhahabu.
Naomba kuwasilisha.View attachment 1766585
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaaMkuu ukiuza usitusahau tuliochangia kwenye uzi wako
Jamani msaada, nahitaji kujua kama jiwe hili kwenye (picha hapo chini) kama lina dhahabu.
Naomba kuwasilisha.
View attachment 1766585