magasi jnr
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 364
- 560
- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa kweli mkuuHili neno "Jiwe" lilizoeleka kama jina la mtu. Wengine tukiliona mioyo inapiga -- paaa!
Tumetoka mbali wajameni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa kweli mkuuHili neno "Jiwe" lilizoeleka kama jina la mtu. Wengine tukiliona mioyo inapiga -- paaa!
Tumetoka mbali wajameni!
Nipo Tarime mkuuDhahabu hiyo. Upo ukanda gani wa nchi?
Shukran kwa mchango wako mkuuMambo vp?ungekuwa mzoefu kiasi ktk Kiwanda cha madini ungeona kitu,ila unaweza kufanya ukatambua Mara zote tunaona copper/zinc tu najua ni dhahabu.ulizia sehemu uliyopo wanapo pima sample huwa inachezea elfu 30-50 sana sehemu nyingi ni elfu 30 wakuangalizie Au,Cu,sulphur utajua sehemu uliyotoa kipo au hakipo.
Nami ninajiwe linaendana na hilo lina rangi mbalimbali nimeamua kulihifadhi kabatini endapo nitapata wataamu nitawahusisha ili wanishauri.Jamani msaada, nahitaji kujua kama jiwe hili kwenye (picha hapo chini) kama lina dhahabu.
Naomba kuwasilisha.
View attachment 1766585
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hili neno "Jiwe" lilizoeleka kama jina la mtu. Wengine tukiliona mioyo inapiga -- paaa!
Tumetoka mbali wajameni!
Nilivyoona neno JIWE tu nikakumbuka mambo fulaniJamani msaada, nahitaji kujua kama jiwe hili kwenye (picha hapo chini) kama lina dhahabu.
Naomba kuwasilisha.
View attachment 1766585
Nilivyoona neno JIWE tu nikakumbuka mambo fulani
Hivi nini maana ya kuchapa kazi, kwani kulitafta hilo jiwe sio kuchapa? Na je vipi iligundulika kuwa ndani ya hilo jiwe dhahabu tutamwita jamaaa mvivu? Tatizo wabongo tumeaminishwa kazi ni kilimo na ualimu basi.Iyo Ni kokoto tuh
Jikite kwenye kuchapa kazi
Na wabongo walivyo wakiona la dhamani wanamgeuka n kumwibiaHuwezi kujua kwa kuliangalia tu...nenda GST au ofisi ya madini kanda huko ulipo, ni mpaka lifanyiwe vipimo.
Ndio
Vp mtoa mada, hizo dhahabu uliuza kwa sh ngapiJamani msaada, nahitaji kujua kama jiwe hili kwenye (picha hapo chini) kama lina dhahabu.
Naomba kuwasilisha.
View attachment 1766585