Nahitaji kujua kama jiwe hili lina dhahabu

Mambo vp?ungekuwa mzoefu kiasi ktk Kiwanda cha madini ungeona kitu,ila unaweza kufanya ukatambua Mara zote tunaona copper/zinc tu najua ni dhahabu.ulizia sehemu uliyopo wanapo pima sample huwa inachezea elfu 30-50 sana sehemu nyingi ni elfu 30 wakuangalizie Au,Cu,sulphur utajua sehemu uliyotoa kipo au hakipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…