Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Habari za muda huu wakuu natumai mmeamka vyema sana.
Kwa wale wazoefu wa kuchukua mzigo Karume au Ilala je mabero ya viatu hasa raba na viatu vya shule pamoja na vya kike huwa vinafunguliwa wapi?
Na kuhusu mabero ya nguo pia huwa yanafunguliwa wapi kati ya sehemu hizo mbili?
Pia nasikia kwamba ili upate mzigo mzuri inabidi uwahi saa 9 usiku au 10 alfajili je ni kweli?
Na kama ni kweli je kwa muda huo usafiri unapatikana wapi?
Najua JF ni familia kubwa naamini nitapata msaada wa maswali niliyouliza na kama kuna mengine yenye umuhimu ambayo sijayaorodhesha hapo pia mnaweza kunifahamisha maana mimi ni mgeni kabisa kwenye hii industry.
Note! Mimi natokea Kijitonyama mpakani na Sinza. Natanguliza shukrani na karibuni kwa mchango wenu.
Kwa wale wazoefu wa kuchukua mzigo Karume au Ilala je mabero ya viatu hasa raba na viatu vya shule pamoja na vya kike huwa vinafunguliwa wapi?
Na kuhusu mabero ya nguo pia huwa yanafunguliwa wapi kati ya sehemu hizo mbili?
Pia nasikia kwamba ili upate mzigo mzuri inabidi uwahi saa 9 usiku au 10 alfajili je ni kweli?
Na kama ni kweli je kwa muda huo usafiri unapatikana wapi?
Najua JF ni familia kubwa naamini nitapata msaada wa maswali niliyouliza na kama kuna mengine yenye umuhimu ambayo sijayaorodhesha hapo pia mnaweza kunifahamisha maana mimi ni mgeni kabisa kwenye hii industry.
Note! Mimi natokea Kijitonyama mpakani na Sinza. Natanguliza shukrani na karibuni kwa mchango wenu.