man of sun
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 329
- 460
matunzo unayo wapa ndio mwongozo wako ila kama ukiwalea vizuri ni miezi 6 hadi nane anataga na kupanda kabisa yaniMimi ni mkazi wa iringa. Nina mpango wakufuga kuku wa kienyeji lakini nahitaji kufahamu ukuaji wake, yani huchukuwa mda gani kwanzia kifaranga.
Pia kama upo Iringa mjini na unakuku njoo DM tuongee bei nachukua had walio kua na week 5 cash so kingine nahitaji kujua kuhusu kuku zaidi maana nataka nianze hiyo biashara.
Kuku wa kienyeji PURE itakuchukua miezi 8 hadi mwaka kama wapo free range na unawapa surplus food kama pumba, mashudu alzeti nk -Mimi ni mkazi wa iringa. Nina mpango wakufuga kuku wa kienyeji lakini nahitaji kufahamu ukuaji wake, yani huchukuwa mda gani kwanzia kifaranga.
Pia kama upo Iringa mjini na unakuku njoo DM tuongee bei nachukua had walio kua na week 5 cash so kingine nahitaji kujua kuhusu kuku zaidi maana nataka nianze hiyo biashara.