Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaamini kuwa mwanafunzi akiwa tayari mwalimu atatokea
Sasa ichukue hiyo na Trust me itafanya kazi
hamna elimu hiyo hapa Africa lwbda huko ughaibuni
Kwa tanga au morogoro nan anafahamu class hizo zilipo?
Habari wanajanvi, nipo arusha nahitaji kujua zilipo meditation temples/classes kwa hapa arusha mjini. Natanguliza shukrani zangu za dhati!
Yaani huwezi amini.
Nilipokuwa na shauku ya kujitambua, nilishangaa kuona mtu ananisalimia inbox kwangu /Facebook ambae ndio mwalimu wangu.
aisee hivi vitu n kweli kabisa! wakati naanza kujifunza haya mambo nilishangaa from nowhere rafiki yangu ambaye hatujawasiliaana kwa kipindi kirefu akiniinbox na kuanza kunipa maujuzi ya haya mambo. ni kweli kuwa ukiwa tayari mwalimu anakuja mwenyewe.
kama unahitaji nifate inbox nitakuelekeza
Dar ipo Wapi?
kama unahitaji nifate inbox nitakuelekeza
Dar ipo Tanzania. kwanini umeuliza dar ilipo?