Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Jf ni sehemu ambayo najua inafikika kwa urahisi na kwa haraka kaliko kufika mpaka mjini kupoteza nauli kwenda ofisi za posta kupata taarifa hizi.
Ninataka kufahamu na namba ya kupata Sanduku la barua lengo sio kuandika barua bali kwa ajili ya kupokea vitu ninavyoagiza.Vitu vya msingi kabisa ninataka kufahamu gharama na huwa linalupiwa kiasi gani sijui kwa mwezi au mwaka.
=====
Pia soma: Gharama na taratibu za kufungua sanduku la posta
Ninataka kufahamu na namba ya kupata Sanduku la barua lengo sio kuandika barua bali kwa ajili ya kupokea vitu ninavyoagiza.Vitu vya msingi kabisa ninataka kufahamu gharama na huwa linalupiwa kiasi gani sijui kwa mwezi au mwaka.
=====
Pia soma: Gharama na taratibu za kufungua sanduku la posta