Ukope pesa za nini? unategemea hata bank wakikufuata nyumani kwako ukatoa maelezo mafupi namna hii utapata pesa zao kweli?
wakuu mi ni mjasiliamali nilio na miti 1000 katika wilaya bukoba vijini sasa nahtaji ushauri jinsi ya kuweza kukopa benki kwa kutumia miti kama dhamana.miti hiyo ina umri wa miaka 10 sasa na ni aina ya pine
wakuu mi ni mjasiliamali nilio na miti 1000 katika wilaya bukoba vijini sasa nahtaji ushauri jinsi ya kuweza kukopa benki kwa kutumia miti kama dhamana.miti hiyo ina umri wa miaka 10 sasa na ni aina ya pine
Uza miti mkuu upate pesa isiyokupa mawazo! Kwa umri huo hukosi laki 1 kwa kila mti, hivyo unatengeneza 100 m bila jasho maana wanunuzi wanakufuata mpaka home!
Uza miti mkuu upate pesa isiyokupa mawazo! Kwa umri huo hukosi laki 1 kwa kila mti, hivyo unatengeneza 100 m bila jasho maana wanunuzi wanakufuata mpaka home!
Watu wengine bana! Bima ya moto? kijijini? Khaa! nimecheka mbavu sina..........
Malila na wataalam wengine, naomba kupata shule kuhusu thinning ya Pinus caribaea inafanyika baada ya umri gani na inatakiwa iwe katika spacing ipi unapopanda na unafanya thining baada ya muda gani na kwa vigezo gani? naambatanisha picha za kishamba changu hapa ambacho nilinunua maeneo ya ziwa victoria.
Uza miti mkuu upate pesa isiyokupa mawazo! Kwa umri huo hukosi laki 1 kwa kila mti, hivyo unatengeneza 100 m bila jasho maana wanunuzi wanakufuata mpaka home!