Asilimia 60 ya watanzania wanapata chini ya laki tatu kwa mwezi.Vipi mkuu unashangaa jamaa anavyosotea laki tano mwezi mzima? Kwa watz wengi hiyo ni nyingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia 60 ya watanzania wanapata chini ya laki tatu kwa mwezi.Vipi mkuu unashangaa jamaa anavyosotea laki tano mwezi mzima? Kwa watz wengi hiyo ni nyingi sana
Kwani lazima wote tufanane?wenzako wanatumia nyumba kukopa wewe unakupa kujenga nyumba
Hii ndio JF, ambapo kila mtu anajua kila kitu. The raw and the cooked utazikuta hapaKopa tu dogo, kama uko serikalini unaweza kurejesha kwa miaka mi-5 Tenaaaa! Makato yatakuwa kama 333,000 kwa mwezi utabakiwa na kama 170,000 kwa mwezi (ila kama hiyo laki 5 ni take home). Deni hilo utarejesha kwa miezi 60 na utawapa benki zaidi ya 6 m kama interest! Kazi kweli kweli!!
Kwani lazima wote tufanane?
Ukikopa pesa hiyo Tsh. 9 mil NMB kwa muda wa miaka mitano (5 yrs) sawa na miezi 60, kwa mwezi utakuwa unakatwa Tsh. 223,673.18 ambapo hadi deni lina isha utakuwa umechangia interest ya jumla ya Tsh. 4,420,390. 8 ambapo jumla ya deni lote utakalo lipa pamoja nainterest ni jumla ya Tsh.13,420,390.8Habari,ninahitaji kujenga nyumba simple mshahara wangu laki 5 je nikisema nijilipue NMB au CRDB nivute mkopo wa million 9 nitakuwa nakatwa shillings ngapi? msaada please![]()
Habari,ninahitaji kujenga nyumba simple mshahara wangu laki 5 je nikisema nijilipue NMB au CRDB nivute mkopo wa million 9 nitakuwa nakatwa shillings ngapi? msaada please [emoji120]
Mi nahitaji miezi 18 hapo hio hio milioni 9Ukikopa pesa hiyo Tsh. 9 mil NMB kwa muda wa miaka mitano (5 yrs) sawa na miezi 60, kwa mwezi utakuwa unakatwa Tsh. 223,673.18 ambapo hadi deni lina isha utakuwa umechangia interest ya jumla ya Tsh. 4,420,390. 8 ambapo jumla ya deni lote utakalo lipa pamoja nainterest ni jumla ya Tsh.13,420,390.8
NB. Hesabu hiyo ni kwa muda wa miaka mi 5 kama utahitaji hesabu ya miaka zaid ya hapo au pungufu ya hapo utasema nikupigie hesabu upya.
Mill 9 Kwa miaka miatano atakatwa 250,000 hiv..Kopa tu dogo, kama uko serikalini unaweza kurejesha kwa miaka mi-5 Tenaaaa! Makato yatakuwa kama 333,000 kwa mwezi utabakiwa na kama 170,000 kwa mwezi (ila kama hiyo laki 5 ni take home). Deni hilo utarejesha kwa miezi 60 na utawapa benki zaidi ya 6 m kama interest! Kazi kweli kweli!!
AiseeKopa nmb muda miez 84 ..... Utabaki kama na 300, 000+ take home