Nahitaji kukopa milioni 9, makato yakoje?

Nahitaji kukopa milioni 9, makato yakoje?

Kopa tu dogo, kama uko serikalini unaweza kurejesha kwa miaka mi-5 Tenaaaa! Makato yatakuwa kama 333,000 kwa mwezi utabakiwa na kama 170,000 kwa mwezi (ila kama hiyo laki 5 ni take home). Deni hilo utarejesha kwa miezi 60 na utawapa benki zaidi ya 6 m kama interest! Kazi kweli kweli!!
Hii ndio JF, ambapo kila mtu anajua kila kitu. The raw and the cooked utazikuta hapa
 
Kwani lazima wote tufanane?

Habari,ninahitaji kujenga nyumba simple mshahara wangu laki 5 je nikisema nijilipue NMB au CRDB nivute mkopo wa million 9 nitakuwa nakatwa shillings ngapi? msaada please
emoji120.png
Ukikopa pesa hiyo Tsh. 9 mil NMB kwa muda wa miaka mitano (5 yrs) sawa na miezi 60, kwa mwezi utakuwa unakatwa Tsh. 223,673.18 ambapo hadi deni lina isha utakuwa umechangia interest ya jumla ya Tsh. 4,420,390. 8 ambapo jumla ya deni lote utakalo lipa pamoja nainterest ni jumla ya Tsh.13,420,390.8

NB. Hesabu hiyo ni kwa muda wa miaka mi 5 kama utahitaji hesabu ya miaka zaid ya hapo au pungufu ya hapo utasema nikupigie hesabu upya.
Habari,ninahitaji kujenga nyumba simple mshahara wangu laki 5 je nikisema nijilipue NMB au CRDB nivute mkopo wa million 9 nitakuwa nakatwa shillings ngapi? msaada please [emoji120]
 
Ukikopa pesa hiyo Tsh. 9 mil NMB kwa muda wa miaka mitano (5 yrs) sawa na miezi 60, kwa mwezi utakuwa unakatwa Tsh. 223,673.18 ambapo hadi deni lina isha utakuwa umechangia interest ya jumla ya Tsh. 4,420,390. 8 ambapo jumla ya deni lote utakalo lipa pamoja nainterest ni jumla ya Tsh.13,420,390.8

NB. Hesabu hiyo ni kwa muda wa miaka mi 5 kama utahitaji hesabu ya miaka zaid ya hapo au pungufu ya hapo utasema nikupigie hesabu upya.
Mi nahitaji miezi 18 hapo hio hio milioni 9
 
Kopa tu dogo, kama uko serikalini unaweza kurejesha kwa miaka mi-5 Tenaaaa! Makato yatakuwa kama 333,000 kwa mwezi utabakiwa na kama 170,000 kwa mwezi (ila kama hiyo laki 5 ni take home). Deni hilo utarejesha kwa miezi 60 na utawapa benki zaidi ya 6 m kama interest! Kazi kweli kweli!!
Mill 9 Kwa miaka miatano atakatwa 250,000 hiv..
 
Back
Top Bottom