Nahitaji kuku wa kienyeji Arusha

Ask me

Member
Joined
Apr 28, 2015
Posts
27
Reaction score
14
Habari wana JF,

Nahitaji vifaranga vya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga..Mimi ndo kwanza naanza kufuga kuku wa kienyeji.
Pia naomba ushauri nianze kufuga kuku wangapi.Matarajio yangu ni kuwa na kuku 500 adi mwisho wa mwaka huu...

Asanteni sana.
 
Usiangalie kuwa na idadi kubwa ya kuku my friend, angalia mzunguko (biashara) kwanza. Kuza - uza, kuza - uza. Ni kuku wa mayai au unataka kuuza wa nyama? Anza na 100 - 150 kisha upime gharama zake na kuimarisha ujuzi. Kuna mambo mengi ya kujifunza kabla hujabobea. :A S clock:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…