Usiangalie kuwa na idadi kubwa ya kuku my friend, angalia mzunguko (biashara) kwanza. Kuza - uza, kuza - uza. Ni kuku wa mayai au unataka kuuza wa nyama? Anza na 100 - 150 kisha upime gharama zake na kuimarisha ujuzi. Kuna mambo mengi ya kujifunza kabla hujabobea. :A S clock: