Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,202
- 4,653
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nataka kwenda kuwekeza kwenye kilimo cha mahindi na mpunga huko Msowero.
Swali langu je, nitapata mazao ya kutosha kwa eneo hilo yaani hali ya hewa na rutuba kwa ujumla ipoje hasa kwa kilimo cha mpunga na mahindi?
Natanguliza shukurani.
Swali langu je, nitapata mazao ya kutosha kwa eneo hilo yaani hali ya hewa na rutuba kwa ujumla ipoje hasa kwa kilimo cha mpunga na mahindi?
Natanguliza shukurani.